THE MAZOMBE MAHENGE DEVELOPMENT ASSOCIATION (MMADEA)

ni shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na maendeleo ya jamii

Pages

▼

Pages

▼
Thursday, September 22, 2016

KIJIJI CHA NYAMAHANA

›
Akina mama wa kijiji cha Nyamahana wakisikiliza  kwa makini majadiliano yanayohusu changamoto zinazoikabili zahanati ya Nyamahana.

KIJIJI CHA NYAMAHANA

›
Afisa wa MMADEA VIVIAN kisanga akiwasilisha maada katika kijiji cha Nyamahana

MRADI HUU WA AFYA UNAFANYIKA KATIKA WILAYA YA IRINGA VIJIJINI, UNATEKELEZWA NA MMADEA WAKISHIRIKIANA NA TACOSODE KWA UFADHILI WA WATU WA MAREKANI(USAID). MRADI HUU UNAFANYIKA KATIKA KATA MBILI, KATA YA NZIHI( NZIHI NA ILALASIMBA) KATA YA MLOWA (NYAHANA NA MAFULUTO) LENGO KUU LA MRADI HUU NI KUHAKIKISHA JAMII INAPATA HUDUMA BORA ZA AFYA.

›
mkurugenzi  Raphael Mtitu  wa MMADEA akiwasilisha maada kwa wananchi wa Nyamahana
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.